Baada ya aliyemtukana Magufuli facebook, Isaac Abakuk kuamriwa kutoa faini ya milioni 7 na Mahakama Kuu kanda ya Arusha na wadau mbalimbali wakamchangia milioni 4.5, Sasa
mtanzania mwingine wa pili kushtakiwa ni Leonard Mulokozi Kyaruzi
ambaye anakabiliwa na mashtaka baada ya kusambaza maoni yake kwenye
mtandao wa WhatsApp yanaomtusi rais Magufuli, Kyaruzi ameshtakiwa chini sheria uhalifu wa
mtandaoni.
Mwingine tena ashtakiwa kwa kumtukana Rais Magufuli WhatsApp
By
Edmo Online
at
Tuesday, June 21, 2016
