Matokeo ya VVU na Saratani ya shingo ya Kizazi Makete baada ya Mkesha wa Mwenge (Audio)

Kutokana na hamasa zilizotolewa na ujio wa Mwenge wa Uhuru wilayani Makete mkoani Njombe Juni 16 mwaka huu, katika usiku wa mkesha wa mwenge wananchi wamejitokeza kwa wingi kupima virusi vya UKIMWI kwa hiari na saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake, huku baadhi wakikutwa na maambukizi ya VVUTakwimu hizo zimetangazwa hivi karibuni katika uwanja wa Mkesha stendi mpya Tandala na Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Daudi Yassin ambapo baada ya kutangazwa mkazo pia ukatolewa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa George Mbijima


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo