Kutokana na mbwa wengi kuzagaa mtaani na kusababisha uhalibifu mkubwa kama kula kuku,mayai,mbuzi,na baadhi ya watu kung’atwa na mbwa hao, wito umetolewa kwa wamiliki wote wa mbwa kuhakikisha wanafungia mbwa hao bandani vinginevyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.
Hata hivyo wananchi hao wame kubaliana kuhakikisha watakuwa bega kwa bega kuhakikisha mbwa wote walio kuwa wa kizurura ovyo mtaani wana tokomezwa kwani wamekuwakero kubwa kijijini hapo.
Utekelezaji wa zoezi hilo la kuua mbwa wanaozurura limenza mala moja hapo jana mara baada ya wananchi kukubaliana huku mwenyekiti wa kijiji hicho Andowisye Memba na Afisa mtendaji wa kijiji hicho Bw, Ambele Sanga wakiwaomba wananchi kuanza utekelezaji.
Utekelezaji wa zoezi hilo la kuua mbwa wanaozurura limenza mala moja hapo jana mara baada ya wananchi kukubaliana huku mwenyekiti wa kijiji hicho Andowisye Memba na Afisa mtendaji wa kijiji hicho Bw, Ambele Sanga wakiwaomba wananchi kuanza utekelezaji.
Na Asukile Mwalwembe