Rc Zambi amtumbua jipu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi


Pichani..Bi Oliva Vavunge ....Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi jana amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi kutokana na Kutosimamia Mradi wa Umwagiliaji na Ujenzi wa Banio katika Kijiji cha Narunyu Kata ya Kiwalala Lindi...Picha na Abdulaziz Lindi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo