Picha saba za mafuriko huko jijini Mbeya

 Baadhi ya wasamaria wema wakijaribu kulinasua gari ambalo lilinasa kwenye matope yaliyo jaa katika Nyumba ya kulala wageni kutokana na mafuriko katika mto Uyole jijini Mbeya




Wakazi wa Uyole jijini Mbeya wakizoa mchanga kwenye mto Uyole ambao ulijaa na kusababisha mafuriko yaliyoleta madhara, ambapo zaidi ya familia mia moja ziliharibiwa makazi yao pamoja na chakula(PICHA NA KENNETH NGELESI)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo