Picha 12 za kijiwe cha kuoshea Pikipiki na Magari Tandala Makete baada ya kufungwa na Serikali

Hivi karibuni Halmashauri ya wilaya ya Makete ilipiga marufuku vijana waliokuwa wakifanya kazi ya kuosha vyombo vya usafiri ikiwemo magari na pikipiki katika mto uliopo karibu na ukumbi wa MTC Tandala Makete Njombe

Lengo la kutolewa katazo hilo ni kunusuru uharibifu wa mazingira unaotokana na uoshaji huo wa magari na pikipiki lakini pia na utekelezaji wa sheria za mazingira zinavyotaka kuwa shughuli zozote zisifanyike kwenye mito na vyazo va maji ndani ya mita sitini

Eddy Blog imetembelea eneo hilo siku nne sasa baada ya amri hiyo kutolewa, tumeshuhudia vijana wametii agizo hilo na sehemu hio ipo salama kwa kuwa hakuna kazi za uoshaji magari na pikipiki zinazoendelea, hapa nimekuwekea picha kadhaa ziangalie
 Muonekano wa Mto huo

 Bomba lililokuwa likitumiwa na vijana hao
 Muonekano wa eneo hilo kwa sasa
 Chupa za maji zikiwa katika mto huo



 Takataka katika eneo hilo
 Kibao cha katazo kilichowekwa na wataalamu wa mazingira


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo