Mkuu wa wilaya ya Makete azungumza mazito vijana walioomba JKT, Sikiliza sauti hii

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Daudi Yassin ametoa onyo kwa vijana walioomba kujiunga kwa hiari na jeshi la kujenga taifa JKT kuwa hatua za kisheria zitakuchuliwa kwa watakaobainika kutumia vyeti vya kugushi ama udanganyifu mwingine wowote

Akizungumza na
EDDY BLOG baada ya kufungwa zoezi la kupokea maombi ya kujiunga na JKT, Mkuu huyo amesema safari hii serikali iko makini kuhakikisha hakuna udanganyifu wowote utakaofanyika kujiunga na jeshi hilo

Aidha ametoa wito kwa vijana ambao hawajafanya udanganyifu kuwa hatua zote zitafuatwa katika usaili huo kuhakikisha haki inatendeka

Bonyeza alama ya play hapo chini kumsikiliza akiongelea suala la Kujiunga na JKT


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo