Basi la Abiria mali ya Kampuni ya Princess Muro, limeparamia Kibanda cha Kituo cha Mabasi yaendayo kasi eneo la Kimara Jijini Dar usiku wakati likiingia kutoka Mkoani. Chanzo chake bado hakijafahamika mpaka sasa.
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OKTOBA 27,2024
34 minutes ago