Rais wa Uganda Yoweri Museveni ambaye ameshinda uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita amekanusha madai ya upinzani ya kuwepo wizi wa kura na pia kupuuza shutuma za waangalizi wa kimataifa.
Mahojiano ya BBC na Museveni
Rais Museveni azungumza na BBC kuhusu uchaguzi wa Uganda http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2016/02/160222_museveni_interview
Posted by BBC Swahili on Monday, February 22, 2016