Maji ya mvua yanapokosa uelekeo kinachofuata ni hiki, angalia Picha hizi

 Kesho Desemba 9 ni siku ya Uhuru wa Tanganyika ambayo kwa sasa ni Tanzania na maadhimisho yatafanyika kwa namna ya kipekee kufuatia Rais Magufuli kuagiza watu kuadhimisha kwa kufanya usafi

Katika pitapita za blog hii mwandishi wetu amekutana na takataka hizi zilizosombwwa na maji na kutupwa sehemu isiyo husika baada ya maji hayo kukosa uelekeo kutokana na kuziba kwa mitaro

Hii imetokea katika kijiji cha Ikonda katibu na kanisa la KKKT Mtaa wa posta




 Mbuzi akila takataka hizo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo