Mkuu wa mkoa wa Mbeya amepiga marufuku matumizi ya simu za mkononi wakati wa kazi


Mkuu wa mkoa wa Mbeya amepiga marufuku matumizi ya simu za mkononi wakati wa kazi mkoani Mbeya ili watumishi wa serikali na mashirika ya umma wahudumie jamii kwa wakati. 

Hatua hiyo inafuatia utekelezaji wa vitendo wa kauli mbiu ya rais John Magufuli kwa vitendo iitwayo HAPA KAZI TU. 

Chanzo: TBC


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo