Hatari kubwa: Simba aua na kujeruhi wilayani Makete

Mnyama anayedhaniwa kuwa ni Simba ameua ng'ombe wanne na kujeruhi wengine watatu katika kijiji cha Kijombo kata ya Lupila wilayani Makete mkoani Njombe

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kijijini hapo ambazo zimeifikia eddy blog zinasema wananchi wa kijiji hicho na maeneo ya jirani wametakiwa kuchukua tahadhari ili wasidhuriwe na mnyama huyo

Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa Eddy Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo