Mgombea urais wa chama cha Chadema Edward Ngoyai Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais akidai alishinda uchaguzi huo.
Lowassa aitaka tume imtangaze yeye kuwa mshindi wa urais
By
Edmo Online
at
Thursday, October 29, 2015
