CHADEMA yawataka wapiga kura wakae mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura

 Mwanasheria wa chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA]   John Malya, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  kuhusu  wananchi wakiisha piga kura wakae umbali wa mita mia mbili kutoka katika vituo vya kupigia kura, kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa millenium tower jijini Dar es saalam
 Afisa habari wa chama  cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] Tumaini Makene  akisisitiza jambo katika mkutano huo  kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam.
Waandi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA]   John Malya jana jijini Dar es Salaam  . (Picha na Emmanuel Massaka


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo