Waziri Lukuvi azidi kupata malalamiko


Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.William Lukuvi amekutana na wananchi na kupokea malalamiko ya migogoro ihusuyo ardhi katika mkoa wa Dar es Salaam katika makao makuu ya wizara hiyo.

Siku ya jana waziri Lukuvi pia alipokea malalamiko ya wananchi katika manispaa ya kinondoni na hivi leo anapokea malalamiko ya wananchi kwa manispaa ya Temeke na Ilala.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo