Picha za kinachoendelea Jijini Mbeya kabla ya mkutano wa CHADEMA leo

 Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya
 Vifaa mbalimbali vikiuzwa kwa ajili ya Mkutano wa CHADEMA
 Baadhi ya Wakazi wa Mbeya wakiwa wamevaa mapambo ya CHADEMA
Mfanyabiashara wakiuza urembo jijini Mbeya


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo