Mgombea Ubunge CCM jimbo la Moshi Mjini akiwa msibani kwa Mzee Kisumo


Davis Mosha aliyepitishwa na CCM NEC kugombea Ubunge jimbo la Moshi Mjini, akiongea na Waziri wa Sheria ambaye pia ni Katibu wa Nje wa CCM Taifa Dr. Asha Rose Migiro walipokutana kwenye mazishi ya Mzee Kisumo leo live!!


Davis Mosha akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani na Makamu wa Kwanza wa Rais Mh. Cleopa Msuya.

Davis Mosha akiongea na Kada wa CCM Richard Kasesela.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo