Matokeo kura ya maoni Singida Mashariki yafutwa na CCM

Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi, NEC imefuta Matokeo ya Kura za Maoni ya Jimbo la Singida Mashariki mkoani Singida kutokana na dosari kadhaa zilizojitokeza wakati wa Upigaji Kura.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi NAPE NNAUYE amewaambia Waandishi wa Habari kuwa licha ya uamuzi wa kufuta Matokeo hayo, Jimbo hilo litatakiwa kutangaza nafasi za kugombea Ubunge upya na kwamba Kamati Kuu maalum itakutana tarehe 17 mwezi huu kupitia Matokeo ya Kura hizo za Maoni.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo