Kumradhi kutoka kituo cha televisheni cha ITV

Tarehe 10 August 2015 katika kipindi cha habari zilizotufikia hivi punde, mtangazaji wetu alisikika akisema jeshi la polisi lapiga marufuku maandamano ya kumsindikiza kuchukua fomu mgombea urais kupitia Chadema.

Katika mahojiano hayo na kamishna Kova aliyekuwa anapinga taarifa za kuzuia maandamano hayo, kwa bahati mbaya wakati wa kuanza na kuhitimisha mahojiano hayo mtangazi wetu alitumia maneno yaliyoleta taswira tofauti.
Uongozi wa ITV unaomba radhi kwa kauli hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo