Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aahirisha kikao mpaka leo saa nne asubuhi

kikao cha CCm kimeahirishwa mpaka saa nne asubuhi, ni mara baada ya zoezi la kupiga kura kumalizika, na baada ya hapo kazi ya kuhesabu kura imeanza, lakini mwenyekiti wa CCm Dkt Jakaya Kikwete ameahirisha kikao hicho

"maneno si ndiyo hayo, naahirisha kikao mpaka kesho saa nne asubuhi" amesema Kikwete


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo