Hotuba Yote Ya Lowassa Iko Hapa Sikiliza Yote Hapa Na Download Pia

Baada ya jina lake kukatwa katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni huko mjini Dodoma, Leo UKAWA wamempokea Rasmi Lowassa katika chama cha CHADEMA na amechukua kadi ya chama cha CHADEMA leo hii akiwa yeye na mke wake.


Katika hotuba yake Lowassa ameongea mambo mengi sana, Lowassa kasema kuwa CCM sio baba yake wala mama yake hivyo haoni sababu ya kukihama chama hicho, Isikilize hotuba yake yote hapa chini




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo