Hizi ndio silaha na vitu vilivyokamatwa na Polisi vikihusishwa na uvamizi wa Kituo cha Polisi Stakishari

Kwenye mfululizo wa matukio yaliyoshtua watu wengi Tanzania, liko pia ambalo lilitokea usiku wa July 12 2015 ambapo Majambazi walivamia Kituo cha Polisi Stakishari Ukonga Dar, wakauawa watu 7 wakiwemo pia Askari wanne na watu wengine watatu.
Leo taarifa imetolewa na Kamanda Suleiman Kova kwamba kuna watu watano wamekamatwa wakihusishwa na tukio hilo na pia kuna silaha ambazo zimekamatwa, ziko Bunduki 15 pamoja na Risasi 28 ambazo zote ni sehemu ya zilizoibiwa wakati wa tukio la Ujambazi uliofanyika Stakishari.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo