Irene Uwoya Naye ajitosa kwenye Siasa......Achukua fomu ya Ubunge viti maalum Tabora


Msanii  wa  Bongo  movie, Irene  amechukua  fomu  ya  kugombea  ubunge  wa Viti  Maalum  kwa  tiketi  ya  CCM  huko  Tabora.
  

Hizi  ni  picha  alizotutumia  wakati  akikabidhiwa  fomu  hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo