Tazama kipindi cha katuni cha Hot Seat cha SPIKA Anna Makinda

Kampuni ya Vuvuzela Entertainment imekuja na kipindi kipya – Hot Seat. Hiki ni kipindi cha katuni ambacho kinawaigiliza watu maarufu wa Tanzania huoneshwa kupitia ITV. Angalia kipindi hiki walichomuigiza spika wa bunge, Anna Makinda.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo