Mkoa wa Ruvuma unatarajiwa kuanza zoezi la uandikishaji kupitia BVR Aprili 28mwaka huu

Mkoa wa Ruvuma unatarajiwa kuanza zoezi la uandikishaji wapiga kura kupitia mfumo wa   kielektroniki(BVR)  Aprili 28  Jumanne huku wananchi wakitakiwa kujitokeza  kwa wingi kujiandikisha
.
Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma  Bw. Said Mwambungu wakati akizungumza na wanahabari ofisini kwake   na  kwamba BVR  za kutosha zimeshasambazwa  wilaya  zote.
 
Amesema kuwa uandiskishaji utaendelea hadi kila wilaya itakapokamilisha zoezi la uandikishaji.
Wakati   huo huo  mkuu huyo wa mkoa amezungumzia uzinduzi  na uwashaji wa Mwenge wa uhuru utaofanyika katika uwanja wa majimaji mjini Songea Aprili 29 mwaka huu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo