Moja misaada aliyoikadhi Mboni ambayo ni mizani ya kupimia ya kina mama.
Keki ya kutumiza mwaka mmoja ya Mboni Show.
Mama
mzazi wa Mboni ( Kwanza kushoto) Alua, Mboni , Mh Jerry na mganga Mkuu
Meshack wakishika kisu kwa pamoja kwaajili ya kukata keki.
Watu mbalimbali walioudhuhuria katika Hospitali ya Amana.
Baadhi ya misaada iliyotolewa.
Mboni akiwa na rafiki yake Halima.
Moja ya mashine iliyokabidhiwa.
Bi Chau alikuwepo.
Adamu Malele(Swebe)
Mboni akiwa na Mad Ice
Mboni akiwa na kundi lake wakiajiandaa kupaka rangi.
Mboni akipaka rangi.
Kipindi cha Mboni Show kinachoongozwa na mtangazaji Mboni Masimba,
kupitia televisheni ya East Afrika tayai kimeshatimiza mwaka mmoja tangu
kianzishwe na kuweza kuwasaidia watu mbalimbali.
Badala ya kwenda kwenye kumbi mbalimbali za starehe kwaajili ya kujipongeza Mboni na kundi lake walielekeza macho yao katika Hospitali ya Amana ambapo walitoa misaada mbalimbali kwaajili ya kujifungulia wa kina mama huku Mheshimiwa Mstahiki Meya Jerry Slaa akiwa ndio mgeni rasmi wa Bethidei hiyo.
credits:GPL