Rais Kikwete Azindua Rasmi Studio mpya za Azam TV

RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete, mapema leo amefanikisha uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.
 
Akizungumza kwenye uzinduzi huo Rais Kikwete, alisema amefurahishwa sana na ubora wa studio hizo kwani uwepo wake umeweza kututoa kimasomaso Watanzania wote kwa ujumla kwani studio hizo zina hadhi namba moja kwa Afrika Mashariki na Kati.
Rais Kikwete akitoa hotuba fupi kwenye hafla hiyo.
Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group, Tido Muhando akiongea jambo kwenye uzinduzi huo.
Rais Kikwete akishuka ngazi baada ya kumaliza kuangalia moja ya studio iliyopo kwenye moja ya magari ya kurushia matangazo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo