MAMA AWATOROKA WATOTO WAKE NA KWENDA KUOLEWA UPYA NA MWANAUME MWINGINE

Wedding of Sara Petersen and Brett Carneiro on August 20, 2011 iKwenye Hekaheka ya leo inatokea Dar, inahusu mwanamke ambaye majirani wanasema ameenda kuolewa Zanzibar na kuwaacha watoto wake watatu, kati yao mkubwa ana umri wa miaka 6 na ndiye aliyeachiwa jukumu la kuwaangalia wadogo zake.

Majirani wamesema kitendo alichofanya mwanamke huyo cha kuwatelekeza watoto hao sio kizuri kwani watoto hao hawana hali nzuri na mtoto mdogo mmoja ambaye ana umri wa mwaka mmoja sio nzuri na anaumwa yuko Hospitali ya Muhimbili akipatiwa matibabu kutokana na afya yake kudhoofika kwa sababu ya kukosa lishe.

Mtoto huyo wa miaka sita amesema mama yao aliondoka akiwaaga kwamba anakwenda kwa bibi yao lakini.

Bonyeza play hapa chini ili kusikiliza stori yote…


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo