MAMA AWAPIKIA WATOTO WAKE NYAMA YA PANYA....!!!!

Kuna tamaduni nyingine hutumia nyama ya mbwa kama kitoweo na wakati mwingine huamini ina faida kubwa mwilini tofauti na nyama ambazo zimezoeleka kuliwa na binadamu.
Hii imetokea huko India baada ya mwanamke mmoja kumlazimisha mtoto wake kula nyama ya panya kama kitoweo cha asubuhi kwa madai watamsaidia kumpatia nguvu.
ratsMtoto huyo aitwaye Chen alizua majibizano kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha ya panya hao ambao alitengewa na mama yake huku mama huyo akumuhimiza kuhakikisha anamaliza kabla ya yeye kuondoka kwenda kazini.
Awali mtoto huyo alidhani hawakuwa panya bali sungura lakini alipokuja kuujua ukweli alikataa kula lakini mama yake aliendelea kumlazimisha.
Alimsisitiza kuwa panya mmoja ana uwezo wa kumpatia  vitamini mwilini sawa na kula kuku watatu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo