Mshindi wa BBA 2014,Idris Sultan Kanunua Nyumba ya maana maeneo ya Mbezi Beach Dar....Picha zote ziko hapa


 
Tanzania kupitia Idris Sultan ilibuka mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, kwenye interview nyingi alizofanyiwa Idris alisema pesa nyingi atatumia kusaidi watoto Tanzania na Africa.
 
Habari mpya ni kwamba super star huyu ametumia kiasi flani cha pesa zake kununua jumba lililopo Dar es salaam maeneo ya mbezi Beach.
 
 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo