Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala akiongea na vyombo vya habaria
katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi
ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji inayosababishwa
na uchakavu wa miundombinu na wizi wa maji
Naibu
Waziri wa Maji,Mh Amos Makala kulia akiwa anasikiliza maelezo kutoka
kwa Eng wa maji Bw.Mohamed Ismail katika eneo la chanzo cha maji mto
nduruma katikati niKaimu mkurugenzi wa mamlaka ya maji Arusha Eng.Fabian Maganga
Muonekano wa maporomoko ya maji mto nduruma ni chanzo kikubwa kinachotegemewa Mkoani Arusha katika huduma ya maji
Askari anayelinda eneo hilo
Naibu
Waziri wa Maji,Mh Amos Makala wa nne kulia akiwa anateta jambo katika
moja ya maporomoko ya maji ijulikanayo kama mto nduruma wengine ni
watumishi wa mamlaka hiyo.