SAMAHANI KWA PICHA!!!! MAMA AGEUKA MNYAMA, ATAFUNA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAYE!

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30 amekula sehemu za siri za mtoto wake wa kiume mwenye umri kati ya miaka mitatu mpaka mitano huko nchini Cameroon.

Mtoto huyo ambaye jina lake Njankep Alexandre ambaye alipelekwa katikahospital moja ya huko Cameroon ambapo madaktari walimpeleka katika chumba za wagonjwa mahututi ili kumpatia matibabu zaidi baada ya mtoto huyo kuvuja damu nyingi sana.

Wakati polisi wakiendelea kumhoji mama huyo hajatoa ushahidi kamili na anashikiliwa na jeshi la polisi la nchini Cameroon!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo