Bila shaka umewahi kuona vyoo, lakini hiki kinaweza kuwa cha mshangao kama mwandishi wetu alivyokikuta kwenye kijiji cha Usagatikwa wilayani Makete mkoani Njombe. Hiki ni choo cha familia na kinatumika usiku na mchana. (Picha na Edwin Moshi/Eddy Blog)
NAJUA UMEWAHI KUONA VYOO, JE HIKI UNAKIPA NAMBA NGAPI..?????
By
Edmo Online
at
Friday, December 19, 2014
