Katika
hali isiyo ya kawaida mzee mwenye umri wa miaka 80 ameomba msaada wa
serikali kuingilia kati na kuzuia mtoto wake kuuza shamba lake ambalo
alilichimba zaidi ya miaka 35 iliyopita.
Shamba lenyewe lipo Mathira Kenya ambapo mzee analalamika kwamba
mtoto wake wa kiume amekuwa akiuza sehemu ya shamba hilo kidogo kidogo.
Amesema tofauti na matarajio yake alikuwa akiamini Mtoto huyo
angekuja kumsaidia uzeeni lakini ndio amekuwa akiuza shamba hilo bila
ruhusa yake na kuhofia kuwa anaweza kuuza hata kipande cha shamba
ambacho amechijimbia kaburi lake.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi