CCTV security camera ilinasa majambazi wawiki hawa wenye
bastola wakijaribu kupora gari aina ya BMW mchana kweupe jijini Nairobi.
Majambazi hao wawili, ambao ni miongoni mwa wimbi la wahalifu
wanaovizia magari kwa kutumia pikipiki, walimuamuru dereva afungue
mlango huku wakimuonyesha bastola. Dereva huyo aligoma kufungua mlango,
kwa sababu nzui; gari lake ni bulletproof. Baada ya dereva huyo kukataa
kutii amri yao, mmoja wa majambazi hao anaonekana akijaribu kuvunja kioo
bila mafanikio. Hapo ndipo dereva wa gari hilo aliporudi rivasi, nakusepa.
Kilichotokea pale majambazi wenye bastola walipojaribu kupora bulletproof BMW [Video]
By
Edmo Online
at
Sunday, December 21, 2014
