Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali eneo la Mlima Nyoka mkoani Mbeya.
Lori
la mafuta lenye namba za usajili T 332 AGA ambalo dereva wake Godfrey
Lyimo (33) alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali kwa matibabu
zaidi. Pichani lori hilo la mafuta liKiwa limepinduka.
Wananchi wakiwa eneo la ajali.
Taswira kutoka eneo hilo la ajali.
(PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi