Ajali mbaya imetokea Tanga ambapo watu
saba wamefariki na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya
Mitsubishi Canter yenye namba T 783 BLM majira ya saa 11:00 jioni siku
ya jana.
Kamanda wa Polisi Tanga Fressar Kashai
alisema gari hilo lilitokea kijiji cha Ambangulu kwenye sherehe ya
harusi na kupinduka likiwa njiani, chanzo chake hakijafahamika na dereva
wa gari hilo Ramadhan Omar anashikiliwa na Polisi.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi