Wizara ya afya na Ustawi wa Jamii, imesema kuwa ugonjwa wa ebola bado haujaingia nchini kama ambavyo baadhi ya watu wanadai.
Akizungumza na Times Fm, Msemaji wa Wizara hiyo, Nsachris Mwamwaja
amesema kuwa ugonjwa huo ni janga la kimataifa na kwamba endapo ungekuwa
umeingia Tanzania wizara hiyo haina sababu za kuficha.
Msikilize hapa akieleza kwa undani: