Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akihutubia Vijana wa Vyuo vya Elimu ya juu kwenye kongamano la Vijana lililofanyika Mlimani City jijini Dar Es Salaam. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia Vijana wa CCM kutoka vyuo Vikuu mbalimbali kwenye Mkutano wa Kuadhimisha Kumbukumbu ya Baba wa Taifa uliofanyika Mlimani City.
Nasra Khalfani akipokea kadi yake ya uanachama wa CCM Vijana wakila kiapo cha uanachama wa CCM Justin Mushi akikabidhi kadi yake ya Chadema kwa makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na kutangaza kujiunga rasmi CCM.
(Picha na Adam Mzee )