MANGULA, NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU



 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akihutubia Vijana wa Vyuo vya Elimu ya juu kwenye kongamano la Vijana  lililofanyika Mlimani City jijini Dar Es Salaam.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia Vijana wa CCM kutoka vyuo Vikuu mbalimbali kwenye Mkutano wa Kuadhimisha Kumbukumbu ya Baba wa Taifa uliofanyika Mlimani City.
 Nasra Khalfani akipokea kadi yake ya uanachama wa CCM
 Vijana wakila kiapo cha uanachama wa CCM
 Justin Mushi akikabidhi kadi yake ya Chadema kwa makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na kutangaza kujiunga rasmi CCM.
(Picha na Adam Mzee )


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo