Ndugu Issa Ramadhani (36) mkazi wa majengo Manispaa ya Shinyanga aliamua
kuchukua jukumu la kujinyonga chumbani kwake kwa kile kinachodaiwa
kwenda kupima na kuonekana majibu kuwa ana maambukizi ya
virusi vya ukimwi, kabla ya kujinyonga kwake kwa kutumia kamba ya
katani alimtuma mkewe kwenda kwa wazazi wake huku nyuma akachukua
jumkumu la kujinyonga huku akicha ujumbe wa maneno kuwa NIMEAMUA
KUJINYONGA na simu yake ya mkononi ikiwa kitandani
|
Mwili wa marehemu Issa ukiwa umebebwa kwa kupelekwa mochwari atika hospitali ya mkoa wa Shinyanga . |
|
Mwili
wakiutoa nyumbani baadhi ya majirani na kuupeleka kwenye gari la polisi
tayari kuusindikiza mpaka mochwari kuhifadhiwa huku wakisubiriwa ndugu
na jamaa kufanya taratibu za mazishi. |
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi