KITABU CHA "MWANAMKE MSAGAJI AMENIAMBUKIZA UKIMWI" SASA KINAPATIKANA BURE, SOMA HAPA UJIPATIE

Habari  za  leo  ndugu  wapenzi  wasomaji. Tunapenda  kuwafahamisha  kuwa, tumepewa  idhini   na mwandishi  pamoja  na  wachapishaji  wa  kitabu  cha “Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi“.
 
Habari  njema  kwako  ni  kwamba, kitabu  hiki  sasa  utakisoma  bure  kabisa  kupitia  blog ya  Ulimwengu Usioonekana.
 
Kusoma  kitabu  hiki  kuanzia  sura  ya  kwanza  hadi  ya  mwisho, tembelea :   http://www.mungwakabili.blogspot.com

Maelezo Mafupi kuhusu Kitabu :

Jina la Kitabu:
Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi
 
Mwandishi : Restituta Mahauri

Idadi ya sura :  27
Mawasiliano ya mwandishi:   restitutamashauri@gmail.com

MAELEZO MAFUPI
Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi” ni kitabu kinachoelezea simulizi la ukweli la wanawawake wawili wa Kitanzania Zuwena   na Angel ambao wameambukizwa virusi vya ukimwi kwa njia ya kujamiiana na wanawake wenzao.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo