
Kujivua madaraka kwa
viongozi hao wawili huenda ikawa pigo kubwa kwa Chadema kanda ya
Magharibi baada ya mmoja kati ya makada mahili wa chama hicho wilaya ya
Igunga Bw.Anuar Kashaga kuondoka Chadema na kujiunga na Chama cha
Mapinduzi katika siku za hivi karibuni.
Hatua ya kuachia ngazi kwa
viongozi hao imedaiwa kuwa kuna siri nzito ya wimbi la ubaguzi wa
kikabila,kikanda na hata kidini ambayo bado viongozi hao wamekuwa na
kigugumizi kuweka hadharani.
NA KAPIPI J