BREAKING NEWS: MSIKITI WA MTAMBANI ULIOPO KINONDONI WATEKETEA KWA MOTO


Msikiti wa Mtambani,uliopo Kinondoni jijini Dar,hivi sasa umeteketea kwa moto na  kusababisha hasara kubwa ya mali zilizokuwemo, Globu ya Jamii baada ya kutaarifiwa kwa tukio hilo  la moto,iko kazini na punde itakuarifu kilichokuwa kikijiri eneo hilo ikiwemo pia na kutaka kufahamu nini hasa chanzo cha moto huo,uliowashtua wakazi wengi wa eneo hilo la Kinondoni na kwingineko. 

Juu na chini ni sehemu tukio hilo la kuteketea kwa moto kwa msikiti huo
wa Mtambani, likiendelea hivi .



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo