AJALI YA LORI NA GARI DOGO YATOKEA JIJINI DAR, TAZAMA PICHA HAPA

Lori likiwa limepanda kwenye tuta la Barabara ya Sam Nujoma  baada ya kulikwepa gari dogo aina ya Toyota Corrolla....Askari wa Usalama barabarani akipima ajali hiyo.
baadhi ya watu wakiangalia ajali hiyo.

Ajali imetokea maeneo ya Mlimani City jijini Dar ikihusisha magari mawili Lori la mafuta na gari dogo aina ya Toyota Corrolla lenye namba za usajili T 716 ARY.

Lori hilo lilikuwa likitokea Ubungo kwenda Mwenge na  gari dogo lilikuwa likitokea Mwenge kwenda Survey. Katika ajali hiyo akuna aliyepoteza maisha  wala  kujeruhiwa.
Picha na Global Whatsapp


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo