Lori likiwa limepanda kwenye tuta la Barabara ya Sam Nujoma baada ya kulikwepa gari dogo aina ya Toyota Corrolla.
...Askari wa Usalama barabarani akipima ajali hiyo.
Ajali imetokea maeneo ya Mlimani City
jijini Dar ikihusisha magari mawili Lori la mafuta na gari dogo aina ya
Toyota Corrolla lenye namba za usajili T 716 ARY.
Lori hilo lilikuwa likitokea Ubungo kwenda
Mwenge na gari dogo lilikuwa likitokea Mwenge kwenda Survey. Katika
ajali hiyo akuna aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa.
Picha na Global Whatsapp
