UPEPO MKALI WALETA MADHARA ZANZIBAR, MITI, NYUMBA VYAEZULIWA

Upepo uliovuma  kwa dakika  kumi katika eneo la pongwe wilaya ya kati  mkoa wa kusini unguja umeezua paa za nyumba 11 kunguo miti  na kusababisha uharibifu wa mazingira . 

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kamanda wa polisi mkoa wa kusini Unguja SACP kamishna msaiidzi Juma Saad Khamis ameseMa upepo huo uliokuwa mkali ulikuja wakati wamchana na ulikuwa waghafla  kiasi cha kuwachanganya  wakaazi wa eneo hilo la Pongwe pwani   na kusababisha hasara hiyo  kubwa kwa familia za wananchi hao.

Nao mkazi wa eneo hilo Said Juma Nyange  nashehawa sheha washehia hiyo silima ame juma wameelezea jinsi upepo huo ulivokuja na kuharibu maliza wanaanchi huku sheha huyo akielzea hatua zinazochukuliwa na hasara zilzopatokea.

Hata hivyo wakati uppeo huo umeelta hasara kubwa hapakuwepo  na taarifa yeyote ya tahadhari au onyo lolote kwa wanaanchi wa mkoa huo kutoka mamlaka ya hali ya hewa  afisi ya Zanzibar  kuijiandaa na upepo huo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo