Vipengele 11 (kumi na kimoja) vilikuwa vikishindaniwa. Mshindi katika kila kipengele ameibuka na zawadi ya shilingi milioni moja pamoja na tuzo. Chini ya orodha ni picha za tukio hilo.
ORODHA YA WASHINDI
1. MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA
Millard Ayo – Clouds FM
2. KIPINDI CHA REDIO KINACHOPENDWA
Amplifaya – Clouds FM
3.MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA
Salim Kikeke – BBC Swahili
4. KIPINDI CHA RUNINGA KINACHOPENDWA
Mkasi – EATV
5. MWANAMICHEZO ANAYEPENDWA
Juma Kaseja – Yanga
6. MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA
Nisher
7. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIUME
My Number One – Diamond
8. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIKE
Yahaya – Lady Jaydee
09. MUIGIZAJI WA KIUME KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
King Majuto
10. MUIGIZAJI WA KIKE KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
Elizabeth ‘Lulu’ Michael
11. FILAMU INAYOPENDWA
Ndoa Yangu
Salim
Kikeke wa BBC Dira ya Dunia, mshindi wa kipengele
cha Mtangazaji wa Runinga Anayependwa, akizungumza
machache baada ya kutangazwa.
cha Mtangazaji wa Runinga Anayependwa, akizungumza
machache baada ya kutangazwa.
Mkongwe
King Majuto akiwapa mashabiki wake heko kwa
kumpigia kura. Ameshinda kipengele cha Muigizaji wa
Kiume Anayependwa Kwenye Filamu. Pembeni ni Lulu
Michael, mshindi wa Mwigizaji wa Kike Kwenye Filamu
Anayependwa.
kumpigia kura. Ameshinda kipengele cha Muigizaji wa
Kiume Anayependwa Kwenye Filamu. Pembeni ni Lulu
Michael, mshindi wa Mwigizaji wa Kike Kwenye Filamu
Anayependwa.
Luca Neghesti na Nancy Sumari waandaaji wa shughuli ya
Tuzo za Watu. Wao pia wanahusika na Bongo5.com.
Tuzo za Watu. Wao pia wanahusika na Bongo5.com.
Salim Kikeke (katikati), Mtangazaji wa Runinga
Anayependwa akiwa na Luca Neghesti na Nancy
Sumari waandalizi wa Tuzo za Watu.
Anayependwa akiwa na Luca Neghesti na Nancy
Sumari waandalizi wa Tuzo za Watu.