USWISI YAICHAPA ECUADOR 2-1, REKODI YA AJABU HAIJAWAHI KUTOKEA TANGU 1934

USWISI imetoka na nyuma na kushinda maBao 2-1 dhidi ya Ecuador katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia, mabao yote yakifungwa na wachezaji waliotokea benchi mjini Brasilia.
Admir Mehmedi alikuwa amedumu uwanjani kwa sekunde 121 tu wakati amnaifungia Uswsi bao la kusawazisha kufuatia Enner Valencia kuwafungia Ecuador la kuongoza.
Bao la Seferovic pia lilihakikisha hakuna safe katika michuano hiyo hadi sasa kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1934.
Raha tupu: Seferovic akishangilia bao lake la ushindi aliloifungia Uswsi jioni hiiHigh boot: Antonio Valencia attempts to get past Swiss left-back Ricardo Rodriguez
Hakuna kuremba: Winga wa Ecuador, Antonio Valencia akiwa a einua mguu juu kupiga mpira dhidi ya beki wa kushoto wa Uswsi, Ricardo Rodriguez


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo