PICHA ZA UZINDUZI WA REDIO YA EFm MWEMBE-YANGA, TEMEKE

PNC akiimba kibao chake cha habari ya mjini.
Mkude Simba akiwaongoza wapenda burudani kwa kunyoosha mikono juu kama ishara ya kumkumbuka marehemu Sharo.
Dogo Kinagana akikoleza hafla hiyo kwa kunywa maji chupa nzima na kuanza kuyatoa kwa kuzungusha sikio.
Inspector Haroun akitoa burudani kwa wana Temeke.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo