PICHA ZA HALI ILIVYO NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE SMALL HIVI SASA

Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Dada wa marehemu Mzee Small, Said Ngamba akiwa na majonzi baada ya kuondokewa na ndugu yake
 Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small
Sauda akilia kwa uchungu
(PICHA NA SHANI RAMADHAN, GLADNESS MALLYA NA GABRIEL NG'OSHA)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo