Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said
Ngamba 'Mzee Small' aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa
jijini Dar es Salaam.
Dada wa marehemu Mzee Small, Said
Ngamba akiwa na majonzi baada ya kuondokewa na ndugu yake
Waombolezaji wakiwa na simanzi nyumbani kwa marehemu Said Ngamba 'Mzee Small Sauda akilia kwa uchungu
(PICHA NA SHANI RAMADHAN, GLADNESS MALLYA NA GABRIEL NG'OSHA)



