PICHA ZA AJALI ILIYOTOKEA UBUNGO DARAJANI KWENYE KIVUKO CHA WAENDA KWA MIGUU






Ajali hii imetokea Ubungo Darajani karibu na mitambo ya kuzalishia gesi ambapo lori la kubebea mchanga likiwa limegonga gari dogo ambalo lilikuwa likikatisha barabara ghafla, haikufahamika maramoja kama ajali hiyo imejeruhi watu lakini hakuna mtu aliyepoteza maisha.

Inadaiwa na mashuhuda ajali hiyo imesababishwa na uzembe wa dereva wa garidogo kuingia ghafla barabara kuu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo